Showing posts with label NEWS. Show all posts
Showing posts with label NEWS. Show all posts

Tuesday, June 6, 2017

TUNZENI MAZINGIRA - KATIBU TAWALA

Na Stella MMbando
HAI

Wananchi wa Wilaya ya Hai wamehimizwa kuhifadhi na kutunza mazingira kwa kuotesha miti  ili kuepukana na athari zitokanazo na uharibifu wa mazingira kama ukame.

Friday, June 2, 2017

WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KWA FEDHA ZA TASAF

Bi Asha afisa wa kata ya Masama Kusini akitoa mafunzo kwa wanufaika wa TASAF kabla ya kuanza zoezi la kuhawilisha fedha


Na Stella Mmbando
HAI

Wananchi wa Kijiji cha Lemira Kati kata ya Masama Kati wilayani Hai wameishukuru serikali kwa fedha inazotoa kusaidia kaya masikini nchini na kuomba kuongezwa idadi ya wanufaika kwa kuwa bado zipo familia nyingi hazijaweza kukidhi mahitaji.

WANAFUNZI WAHIMIZWA KUSOMA KWA BIDII

Diwani wa Kata ya Masama Mashariki  John Munis akikabidhi zawadi 
kwa wanafunzi waliofanya vizuri


Na Elizabeth Mafie

HAI

Wito umetolewa kwa wanafunzi kote nchini kusoma kwa bidii pamoja na kumcha Mungu ili waweze kufanikiwa katika masomo yao na kufanikisha ndoto zao za kielimu.


Tuesday, October 4, 2016

MATUKIO KATIKA PICHA: MWENGE WA UHURU 2016 WILAYANI HAI-KILIMANJARO

Mkuu wa Wilaya ya Hai Gelasius Byakanwa akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Siha Onesmo Buswelu

DC AHIMIZA UBUNIFU KWA WATUMISHI WA UMMA



Na: Stella Mmbando -  HAI

Mkuu wa Wilaya ya Hai  Gelasius Byakanwa amewataka wakuu wa idara na watumishi wote wa Wilaya hiyo  kujituma na kuwa wabunifu katika kutekeleza majukumu yao idara zao ili kuongeza ufanisi na kuimarisha ari ya kufanya kazi kwa maendeleo ya taifa.

Byakanwa alizungumza hayo wakati wa kutoa tuzo za mshindi wa shindano la ubunifu kwa idara na vitengo vya halmashauri hiyo ambapo mwezi huu zimeshindanishwa idara tatu ikiwamo idara ya mapato, biashara na mazingira.


Sunday, March 22, 2015

KILANGO AWATAKA WAALIMU WAALIMU KUNYANYUA ELIMU NCHINI



Naibu Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Mh Ane Kilango Malecela amewataka waalimu wa shule za msingi waliyo pewa mafunzo ya mbinu bora ya ufundishaji kutumia elimu hiyo ili kunyanyua elimu hapa nchini.

Friday, December 19, 2014

LAPF WATOA MAFUNZO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA HAI

 Mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai akiuliza swali wakati wa mafunzo yaliyotolewa na LAPF hivi karibunui




 Mtumishi kutoka  Idara ya Maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Hai akiuliza swali wakati wa mafunzo hayo



 Mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai akichanjgia mada  wakati wa mafunzo yaliyotolewa na LAPF hivi karibunui



 Waliosimama ni wataalam kutoka LAPF


AAliyesimama wa kwanza mbele ni Afisa Utumishi wa Wilaya ya Hai akitoa maelekezo wakati wa mafunzo ya LAPF