Friday, December 19, 2014

MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA WILAYANI HAI KWA MWAKA 2014




MUHTASARI WA MATOKEO YA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA VIJIJI NA VITONGOJI WILAYANI HAI KWA MWAKA 2014 



KATA
WENYEVITI
WA
VIJIJI
WENYEVITI
WA
VITONGOJI
VITI MAALUMU
H/SHAURI
YA
KIJIJI
S/N

CCM
CDM
CCM
CDM
CUF
CCM
CDM
CCM
CDM
1
MACHAME MAGHARIBI
0
2
3
9

2
14
3
17
2
KIA
3
0
12
3

21
3
32
2
3
WERUWERU
4
0
14
3
1
30
2
42
3
4
MACHAME MASHARIKI
5
0
18
4

40
0
58
0
5
MASAMA RUNDUGAI
3
2
17
7

28
12
37
19
6
BOMANG’OMBE


2
3





7
BONDENI


6
0





8
MUUNGANO


0
6





9
MASAMA KATI
1
4
5
13

8
32
19
43
10
MASAMA MAGHARIBI
2
3
8
8

30
6
32
32
11
MACHAME NARUMU
3
1
12
4

26
6
26
16
12
MACHAME UROKI
2
2
6
10

17
14
10
38
13
MASAMA MASHARIKI
4
1
11
5

32
6
52
12
14
MASAMA KUSINI
1
2
7
9

15
17
20
38
15
ROMU
3
2
12
6

31
9
49
12
16
MNADANI
3
3
20
18

24
24
32
26
17
MACHAME KASKAZINI
1
4
11
18

12
28
16
34
JUMLA
35
26
164
126
1
316
173
428
292
ASILIMIA
57.4
42.6
56.4
43.3
0.3
64.6
35.4
59.4
40.6
















    1. KATA YA MACHAME NARUMU; Kijiji cha Orori; kitongoji cha Mulla wagombea wawili wamefungana kura hivyo mchakato utaanza upya kwa mujibu wa kanuni.

    1. KATA YA MASAMA KUSINI;Kijiji cha Kwasadala;Uchaguzi wa Mwenyekiti wa kijiji haukufanyika kutokana na kifo cha Mgombea wa CCM.Hivyo uteuzi wake umetenguliwa na sasa CCM itafanya uteuzi wa mgombea mwingine tarehe 19/12/2014.Kwa mujibu wa kanunui uchaguzi utapanga katika muda usiozidi siku tisini.

    1. Wenyeviti wa vijiji waliopita bila kupingwa kwa tiketi ya CCM ni wawili katika kijiji cha Tindigani katika kata ya Kia na kijiji cha Shirimgungani katika kata ya Mnadani.

    1. Wenyeviti wa vitongoji waliopita bila ya kupingwa kwa tiketi ya CCM ni kumi na sita na kwa tiketi ya CHADEMA ni mmoja.

    1. Wajumbe wa Viti maalumu wanawake waliopita bila ya kupingwa kwa CCM ni ishirini na tisa.

VIFUPISHO;
1.        CCM – Chama Cha Mapinduzi
2.        CDM – Chama cha Demokrasia na Maendeleo
3.        CUF – Civic United Front

No comments:

Post a Comment