Mkuu wa Wilaya ya Hai Onesmo Buswelu (aliyevaa suti) akitoa maagizo kwa watendaji wa Halmashauri ya Wilaya kushirikiana na wananchi kurekebisha miundombinu ya Mto Sanya wakati wa ziara yake ya kukagua madhara yaliyosababishwa na mafuriko katika Kijiji cha Sanya Station mapema Aprili 19, 2018. (Picha na Davis Minja)
|
No comments:
Post a Comment